by andrea.cpps | Jan 12, 2021 | News, Nursing School
Mkuu wa chuo wa sayansi ya afya na afya shirikishi cha mt. Gaspari anawatangazia watanzania wote, wazazi/ walezi na wanafunzi waliomaliza kidato cha nne au cha sita nafasi za masomo ya utabibu (diploma in Clinical Medicine) yanayo tarajiwa kuanza mwezi march, 2021....
by admin | Oct 30, 2020 | News, Nursing School
Hongera kwa kufanikiwa kuchaguliwa kujiunga katika chuo cha Uuguuzi cha Mt. Gaspar. Chuo hiki kinatoa kozi ya Uuguzi. Kozi hii ni ya miaka mitatu lakini unaweza kusoma kwa miaka miwili na kuhitimu kwa ngazi ya cheti. Chuo kipo chini ya Usimamizi wa Kanisa Katoliki...
by admin | Oct 30, 2020 | News, Nursing School
Hongera kwa kufanikiwa kuchaguliwa kujiunga katika chuo cha Uuguuzi cha Mt. Gaspar. Chuo hiki kinatoa kozi ya Uuguzi. Kozi hii ni ya miaka mitatu lakini unaweza kusoma kwa miaka miwili na kuhitimu kwa ngazi ya cheti. Chuo kipo chini ya Usimamizi wa Kanisa Katoliki...
by andrea.cpps | May 27, 2020 | News, Nursing School
TANZAGO Kutokana na tangazo lililotolewa na Mheshimiwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa VYUO VYOTE vitafunguliwa mwezi Juni 2020, TUNAPENDA KUWATANGAZIA wanachuo wote kuwa wanapaswa kufika Chuoni tarehe 01 Juni 2020 bila kuchelewa. Ili waweze kupokelewa...
by andrea.cpps | Dec 20, 2019 | Hospital, News
Mnamo Desemba 17, nchini Tanzania, Wiki ya Kitaifa ya Afya na Mazingira vilimalizika. Mada ya mwaka huu ilikuwa “Utunzaji wa afya na afya ya mazingira ni kichocheo muhimu kwa ukuaji endelevu wa uchumi”. Mbele ya Waziri Mkuu, maafisa wa afya wa kikanda na...