UP-GRADING 2020-2021

UP-GRADING 2020-2021

Hongera kwa kufanikiwa kuchaguliwa kujiunga katika chuo cha Uuguuzi cha Mt. Gaspar. Chuo hiki kinatoa kozi ya Uuguzi. Kozi hii ni ya miaka mitatu lakini unaweza kusoma kwa miaka miwili na kuhitimu kwa ngazi ya cheti. Chuo kipo chini ya Usimamizi wa Kanisa Katoliki...
PRE- SERVICE 2020-2023

PRE- SERVICE 2020-2023

Hongera kwa kufanikiwa kuchaguliwa kujiunga katika chuo cha Uuguuzi cha Mt. Gaspar. Chuo hiki kinatoa kozi ya Uuguzi. Kozi hii ni ya miaka mitatu lakini unaweza kusoma kwa miaka miwili na kuhitimu kwa ngazi ya cheti. Chuo kipo chini ya Usimamizi wa Kanisa Katoliki...
TANZAGO – Chuo cha Uuguzu cha Mt. Gaspari

TANZAGO – Chuo cha Uuguzu cha Mt. Gaspari

TANZAGO Kutokana na tangazo lililotolewa na Mheshimiwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa VYUO VYOTE vitafunguliwa mwezi Juni 2020, TUNAPENDA KUWATANGAZIA wanachuo wote kuwa wanapaswa kufika Chuoni tarehe 01 Juni 2020 bila kuchelewa. Ili waweze kupokelewa...
Tuzo mpya kwa st. Gaspar Hospital

Tuzo mpya kwa st. Gaspar Hospital

Mnamo Desemba 17, nchini Tanzania, Wiki ya Kitaifa ya Afya na Mazingira vilimalizika. Mada ya mwaka huu ilikuwa “Utunzaji wa afya na afya ya mazingira ni kichocheo muhimu kwa ukuaji endelevu wa uchumi”. Mbele ya Waziri Mkuu, maafisa wa afya wa kikanda na...