CHUO CHA UUGUZI na utabibu

St. Gaspar college of health and allied sciences

shule

Chuo cha uuguzi cha mtakatifu Gaspari kilizinduliwa rasmi tarehe 4 Septemba 2016.

Kama ndoto ya shirika la Wamisionari wa Damu Azizi wanaokiongoza pia. Kipo ndani ya eneo la Hospitali ya Mtakatifu Gaspari na kila mwaka “hufundisha wauguzi wa kesho.”

Kuanzia 2 Novemba 2020 shule hiyo iliinuliwa kwa viwango vya Chuo, na kuwa Chuo cha Mtakatifu Gaspar cha Sayansi ya Afya na Ushirika.

Z

Maelezo

Utume wetu ni kufundisha wauguzi na wahudumu wa afya: kijamii, kiutu na kitaalamu.

Mipango

Chuo kimesajiliwa na kinatambulika kitaifa (NACTE)

Kujiunga

Shule inatoa kozi nne za masomo: cheti cha uuguzi, diploma ya uuguzi, cheti cha “dawa ya kliniki” na diploma ya “dawa ya kliniki”.

Nadharia na vitendo

Uimara wa chuo chetu ni msisitizo wa mazoezi ya vitendo zaidi ya nadharia  wakati wa mafunzo.Maabara ya mazoezi iliyo ndani ya chuo husaidia sana katika mazoezi kabla ya wanafunzi kuja kwa wagonjwa mawodini.

Hospitali

Muungano mkubwa wa chuo na hospitali ya mtakatifu Gaspari huruhusu mafunzo kamili na ya kudumu, tunashukuru kwa mazoezi mengi na majitoleo ya wanafunzi kwa wataalamu.

Kozi za mafunzo

Mafunzo yatolewayo kwa wanafunzi yanastawishwa na kozi zitolewazo kwao. Kozi zinahusisha kuwahudumia wagonjwa mbalimbali na tafiti mpya juu ya mbinu za kitabibu.

Miaka tangu kuanzishwa

Wakufunzi na waalimu

Kozi zitolewazo

wamehitimu tangu kuanzishwa chuo

TAARIFA ZA CHUO

Ya kutumia wengi

Katika huduma ya jumuiya iliyoanzishwa 2006, chuo cha mtakatifu Gaspari kimejikita katika kuelimisha raia na wanafunzi. Hivyo wauguzi wana uwezo wa kushiriki katika huduma za jumuiya kwa wahitaji. Tunawashukuru wataalamu na watoa mafunzo.

Kuanzia 2 Novemba 2020, shule hiyo iliinuliwa kwa viwango vya Chuo, na kuwa Chuo cha Mtakatifu Gaspar cha Sayansi ya Afya na Ushirika.

Chuo cha Uuguzi na Utabibu cha mtakatifu Gaspari ni moja ya nyenzo katika kuimarisha hospitali yetu kwa sababu kinahusisha utoaji bora wa mafunzo yatolewayo na wakufunzi walio bobea katika nadharia na vitendo, mazingira safi na ushiriki wa wanafunzi.

Nurse Lucrecia Mjengi

Mkuu wa Chuo cha Mt. Gaspari

Mkakati wa mafunzo

Utoaji wa elimu wa Shule ya Uuguzi ya Mtakatifu Gaspar inajumuisha njia nne tofauti: ya kwanza kupata cheti cha uuguzi (miaka miwili); ya pili kwa kupata diploma ya muuguzi; ya tatu kwa cheti katika dawa ya kliniki (miaka 2) na ya nne kwa diploma katika dawa ya kliniki (miaka 3).

Diploma ya uuguzi 

Diploma ya uuguzi haitoi mafunzo kwa wale waliobobea bali kwa wote hata viongozi wa idara. Moyo wa kuanzisha na kugundua, ujuzi kinadharia na kivitendo, ujuzi wa kimahusiano na mpango kazi wa pamoja kwa wahitimu.

Kujiunga na chuo

Mwanafunzi mtarajiwa anaweza kutokea shule au kazini. Inategemea aina ya kozi unayotaka (cheti au diploma).  

Kanuni lazima kuzingatiwa katika kujiunga.

Katika elimu ya sekondari waweza kujiunga na kwa ajili ya diploma, ukitokea kidato cha nne au cha sita.

ukubaliwa kwenye kozi ya vyeti ya miaka miwili inahitajika kupata angalau kiwango cha D katika biolojia na kemia na D katika fizikia au hisabati; kwa kudahiliwa kwa diploma ya miaka mitatu, tathmini ya awali ya C katika biolojia na kemia na D katika fizikia au hisabati inahitajika.

Umadhubutu wa chuo chetu? Mafunzo ya kinadharia na kwa vitendo yaliyofungamanishwa pamoja.

Chuo cha mt. gaspar kimeshika nafasi ya tatu kitaifa kati ya shule….za uuguzi tanzania. hii ni kutokana na mafunzo yanayoendana na mtaara wa taaluma husika.

KWA NINI UCHAGUE SHULE YA UUGUZI na utabibu
YA MT. GASPARi?

Chuo cha Mt. Gaspar mbali na kutoa ujuzi wa mambo ya uuguzi na uongozi ni shule pia inayo mjenga mwanafunza kimaadili bila kutoka nje ya maadili ya kikatoliki. Tunatilia mkazo elimu ya kuthamini utu, jamii na roho.

Fr. Seraphine Lesiriam, C.PP.S. –  Mkurugenzi wa Chuo cha uuguzi na utabibu “Mt. Gaspari”

Habari ya shule

Tangazo la nafasi za masomo kwa kozi ya utabibu

Tangazo la nafasi za masomo kwa kozi ya utabibu

Mkuu wa chuo wa sayansi ya afya na afya shirikishi cha mt. Gaspari anawatangazia watanzania wote, wazazi/ walezi na wanafunzi waliomaliza kidato cha nne au cha sita nafasi za masomo ya utabibu (diploma in Clinical Medicine) yanayo tarajiwa kuanza mwezi march, 2021....

UP-GRADING 2020-2021

UP-GRADING 2020-2021

Hongera kwa kufanikiwa kuchaguliwa kujiunga katika chuo cha Uuguuzi cha Mt. Gaspar. Chuo hiki kinatoa kozi ya Uuguzi. Kozi hii ni ya miaka mitatu lakini unaweza kusoma kwa miaka miwili na kuhitimu kwa ngazi ya cheti. Chuo kipo chini ya Usimamizi wa Kanisa Katoliki...

PRE- SERVICE 2020-2023

PRE- SERVICE 2020-2023

Hongera kwa kufanikiwa kuchaguliwa kujiunga katika chuo cha Uuguuzi cha Mt. Gaspar. Chuo hiki kinatoa kozi ya Uuguzi. Kozi hii ni ya miaka mitatu lakini unaweza kusoma kwa miaka miwili na kuhitimu kwa ngazi ya cheti. Chuo kipo chini ya Usimamizi wa Kanisa Katoliki...

Unahitaji habari?

St. Gaspar Hospital

P.O. BOX 12, Itigi – Singida – TANZANIA

Fax: +255 732 -960 744

Nambari za simu:

+255 755454040
+255 26 254 0193

E-mail:  

info@stgasparhospital.org

Hospitali

– Tovuti rasmi

Hospitali leo

Huduma maalum

Booking

Tusaidia

 

 

 

Link utili

Sera ya afya

Wamisionari wa Damu Azizi General Curia

Wamisionari wa Damu Azizi – Tanzania

– Wamisionari wa Damu Azizi – Italia