CT-scan

Kwa uchunguzi sahidi zaidi

Mawazo ya utambuzi

Kitengo cha CT-Scan kilianzishwa mwaka 2015 na sasa ni kimojawapo pia cha vivutio vya wagonjwa kuja Itigi katika hospitali yetu.

Kitengo cha CT- scan kinasaidia sana katika masuala ya uchunguzi katika majeraha ya yanayotokana na hajari za barabarani, magonjwa katika ubongo na sehemu zingine za mwili, utafiti katika saratani mbali mbali na magonjwa ya mishipa ya damu. Ni kipimo muhimu sana katika kuchunguza sehemu za ndani za mwil

Hutolewa an wataalamu waliopata mafunzo maalum. Tunashirikiana pia na wataalam wengine nje ya hospitali kwa njia ya ki-elekitroniki katika kusoma na kutafsiri picha za mgonjwa.

Mazingira rafiki kwa watoto

Mazingira katika chumba cha CT-Scan yamepambwa kwa picha za ukutani ili kuvutia na kupunguza taharuki hasa kwa watoto

Q

Hakuna haja ya kuogopa

Machine kwa ajili ya uchunguzi na kupunguza msongo wa mawazo na hali ya kuogopa (claustrophobia)

Mashine ya kisasa

Yenye uwezo wa kuchukua picha 64 kwa wakati mmoja.Ni moja ya huduma hadimu inayopatikana katika hospitali chache hapa nchini. Ilianzishwa mwaka 2015

Mambo manne muhimu katika CT-scan yetu

Chumba kimepambwa ili kuwa rafiki kwa wagonjwa, hususani watoto; Wataalamu wa mionzi hukikagua mara kwa mara kuhakikisha usalama wa wagonjwa na mazingira; tunawasiliana na wataalamu wengine katika kutafsiri picha na huduma hupatikina muda wowote.

s

Usalama wa vifaa

}

Huduma ni masaa 24/7

Msaada wa kitaalamu

N

Usahihi wa matibabu

Mawasiliano

mahali

St. Gaspar Referral Hospital
P.O. Box 12 – Itigi (Singida)
Tanzania

Nambara za simu
(+255) 262 540 193
Email
info@stgasparhospital.org

Kitabu huduma – Booking