Endoscopy

Mageuzi ya maarifa

 

Mganga: dr. Seif Nuru

TUNACHOKIFANYA

HUDUMA ZETU

N

ESOPHAGRAM STROBOSCOPY

N

FOREIGN BODIES REMOVAL

N

BRONCHOSCOPY

N

ENDOSCOPY

N

ESOPHAGEAL DILATION

N

RUBBER BAND LIGATION

N

ESOPHAGOSCOPY

N

COLONOSCOPY

N

LARYNGEAL STROBOSCOPY

N

EXPLORATORY ENDOSCOPY

P

Kitengo

Kitengo cha endoscopy kilianzishwa mwaka 2018 na sasa ni moja ya sababu za wagonjwa wengi katika hospitali yetu.
Wagonjwa wetu hupata vipimo vya bronchoscopy, esophagram stroboscopy, laryngeal stroboscopy, esophagoscopy, colonoscopy, esophageal dilation na pia kutolewa vitu vilivyokwama katika matundu ya mwili (foreign bodies removal) kwa mfano puani, masikioni na njia ya hewa (hii hasa kwa watoto wadogo).

s

Wafanyakazi

Wafanyakazi wa kitengo cha endoscopy wamepata mafunzo maalum katika taaluma hii na katika uwanja mpana wa upasuaji. Wauguzi pia wamepata mafunzo ya kina katika utunzaji wa vyombo vinavyotumika katika huduma hii.

Masaa ya kufungua

Siku zote za kazi 24/7, huduma ya vipimo vya endoscopy inapatikana kuanzia Jumatatu mpaka Ijumaa, saa 8.30 asubuhi mpaka saa 3:30 alasiri. Jumatano na Alhamisi ni siku za upasuaji.

 

Mawasiliano

mahali

St. Gaspar Referral Hospital
P.O. Box 12 – Itigi (Singida)
Tanzania

Nambara za simu
(+255) 262 540 193
Email
info@stgasparhospital.org

Kitabu huduma – Booking