UTAYARI KATIKA JAMBO LOLOTE

IDARA YA MAGONJWA MCHANGANYIKO

 

Wakuu wa idara

Dr. Rajab Chimile – Nz. Elifaz Godfrey

64

vitanda

Idara ya Magonjwa Mchanganyiko (Internal Medicine) hushughulika na magonjwa yote ya watu wazima ya kuambukiza na yasiyo ya kuambukiza.
19

wataalamu

Watumishi katika idara hii wana mafunzo yanayowawezesha kukabiliana na kujibu kila hitaji na hali katika magonjwa mbali mbali.
1310

HUPATA NAFUU

Wagonjwa hufika hospitalini na kupewa vitanda wodini, mara nyingi baada ya trauma (hasa wale wapatao ajali barabarani) au majeraha ambayo hayajapona.

Idara yetu

Hospitali ya Mtakatifu Gaspari Itigi ina wodi kubwa ya magonjwa mchanganyiko ambayo inapokea wagonjwa katika hali ya dharura au wanaokuja kupata uchunguzi zaidi kutoka sehemu hospitali zingine.

Kuna jumla ya vitanda 64 katika wodi hii.

Kiujumla wagonjwa wengi ni wa magonjwa ya kuambukiza hasa katika mifumo ya hewa, damu, kifua au figo, pia wa magojwa yasiyoambkiza kama vile kisukari na shinikizo la damu.

Malaria na upungufu wa damu pia hushamiri.
Idara pia ina sehemu mahususi kwa ajili kuwatenga watu wa magonjwa ambukizi, ambapo wagonjwa hawa pia hutibiwa bila unyanyapaa.

habari mpya

St. Gaspar Hospital

P.O. BOX 12, Itigi – Singida – TANZANIA

Fax: +255 732 -960 744

Nambari za simu:

+255 755454040
+255 26 254 0193

E-mail:  

info@stgasparhospital.org

Hospitali

– Tovuti rasmi

Hospitali leo

Huduma maalum

Booking

Tusaidia

 

 

 

Link utili

Sera ya afya

Wamisionari wa Damu Azizi General Curia

Wamisionari wa Damu Azizi – Tanzania

– Wamisionari wa Damu Azizi – Italia