Muundo wa uongozi

Hospitali ya rufaa ya Mt. Gaspari ni kubwa kiuhalisia nchini Tanzania, kituo kikuu katika eneo la Itigi.
Hospitali hupata ushirikiano kati ya watumishi mia moja katika masuala mbalimbali.
Mkurugenzi mkuu mara zote huwakilishwa na mmisionari wa shirika la Damu Azizi, shirika la kimataifa ambalo limejenga na kutunza hospitali yote.

MKURUGENZI: Fr. Seraphine Lesiriam, C.PP.S.
MGANGA WA AFYA:
Dr.Anatole D. Rukonge
MATRONI:
Nr. Zena S. Sumbe
WAKALA:
Idagiovana W. Saanane
MKUU WA KITENGO CHA MAPOKEZI NA MAHESABU:
Maria J. Tamba

I

Kazi kubwa

Hospitali kubwa kwa huduma bora
I

Kazi zinazo endelea

Tumepata mafanikio makubwa katino hospitali yetu, na baado tunaendelea kuboresha zaidi.
I

Wataalamu na watumishi

Mafunzo kwa watumishi, na uwepo wa wagonjwa na magonjwa mbalimbali huifanya hospitali yetu kama kituo cha mafunzo.

mahali

St. Gaspar Referral Hospital

P.O. 12 – Itigi (Singida)

 

email

info@stgasparhospital.org

nambari ya simu

(+255) 262540193

(+255) 755454040

St. Gaspar Hospital

P.O. BOX 12, Itigi – Singida – TANZANIA

Fax: +255 732 -960 744

Nambari za simu:

+255 755454040
+255 26 254 0193

E-mail:  

info@stgasparhospital.org

Hospitali

– Tovuti rasmi

Hospitali leo

Huduma maalum

Booking

Tusaidia

 

 

 

Link utili

Sera ya afya

Wamisionari wa Damu Azizi General Curia

Wamisionari wa Damu Azizi – Tanzania

– Wamisionari wa Damu Azizi – Italia