KILA WAKATI KWA UPANDE KWA WA WATOTO

Wodi ya watoto

 

Wakuu wa idara

Dr. Augustino Kajoro Mphayokulela -Nz. Benedicto Claudo

150

vitanda

50% ya vitanda vya hopitali viko katika wadi ya watoto. Hii inadhihirisha kwamba utume wetu unawapa watoto kipaumbele zaidi.

22

WATAALAMU

Madaktari 3 na wauguzi 19 wanahudumia katika utume huo wa kufariji na kutibu watoto katika mazingira rafiki.

2437

HUPATA NAFUU

Kati yao 94% waliruhusiwa wakiwa wamepona kupata nafuu.

Idara yetu

Idara ya watoto hufanya shughuli zote za matibabu, kinga na elimu ya pathology kwa watoto wagonjwa (kati ya miaka 0-12)

Idara ya watoto hufanya shughuli zote za matibabu, kinga na elimu ya juu ya magonjwa ya watoto kwa watoto (kati ya miaka 0-12)
Idara ina jumla ya vitanda 150, ambayo ni asilimia 50 ya vitanda vyote hospitalini. Hii ni kwa sababu watoto ndio kundi kubwa linaloathirika na maradhi katika jamii. Mahitaji ya matibabu kwa watoto yameongezeka kulingana na idadi ya watoto inavyoongezeka kila mwaka.
Malaria, kichomi (pneumonia),utapia mlo na majeraha ya kuungua bado ni matatizo makubwa, bali malaria na pneumonia yamebaki kuwa sababu kubwa za vifo vya watoto. Madaktari katika wodi hii wanashukuru kwa ajili ya mafunzo yao mapana; wanajihusisha na matatizo makubwa ya hitilafu mbali mbali katika mfumo wa upumuaji, mfumo wa mkojo na maambukizi katika mfumo wa chakula. Magonjwa mengi yanasababishwa na kutojali usafi au kutopata taarifa za kutosha kiafya au umaskini uliokithili katika familia nyingi.

HAbari mpya

St. Gaspar Hospital

P.O. BOX 12, Itigi – Singida – TANZANIA

Fax: +255 732 -960 744

Nambari za simu:

+255 755454040
+255 26 254 0193

E-mail:  

info@stgasparhospital.org

Hospitali

– Tovuti rasmi

Hospitali leo

Huduma maalum

Booking

Tusaidia

 

 

 

Link utili

Sera ya afya

Wamisionari wa Damu Azizi General Curia

Wamisionari wa Damu Azizi – Tanzania

– Wamisionari wa Damu Azizi – Italia